Google PlusRSS FeedEmail

Wasanii 50 wakamilisha video ya miaka 50 ya amani

Wasanii 50 wa muziki wa kizazi wamekamilisha video ya maalum ya kuadhimisha miaka 50 ya amani, kwa kuimba wimbo wa pamoja katika viwanja vya taifa katika kuadhimisha miaka 50 ya amani nchini. Akizungumza na mwandishi wa safu hii, kiongozi wa kundi la Tmk Wanaume Saidi Fella ‘Mkubwa Fella’ amesema lengo la wasanii ni kuwakumbusha Watanzania kwamba miaka 50 na chaguzi nyingi zimepita ni jambo la kujipongeza.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging