Google PlusRSS FeedEmail

WHITNEY HOUSTON ACHEMKA KWENYE ONYESHO SABABU YA UVUTAJI WA SIGARA

  
                                      
Promoter wa nyota Whitney Houston ambaye ni mke wa mwanamuziki Bobby Brown ameweka wazi kuwa mwanamama huyo hataki kuacha kuvuta sigara.
Kutokana na tabia hiyo, nyota huyo anapata tabu na sauti yake kila mara afanyapo maonyesho.
Mwanamama huyo yuko nchini Australia kwa ajili ya maonyesho kadhaa lakini hata hiyo amekumbwa na malalamiko kutoka kwa mashabiki wake ya kuwa anashindwa kumalizia maonyesho hayo kutokana na kutokuwa na pumzi ya kutosha ukizingitia baadhi ya nyimbo zake ni hisia sana ambazo zinahit

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging