
Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion&Auctionmart ameendelea na harakati za kuwakamata maharamia wa kazi za wasanii nchini..kwa mara nyingine msama amefanikiwa kuwashika maharamia wawili Bashir Abdul na Jofrey Anatory wakazi wa Mabibo Jijini Dar Es Salaam,ambao kwa pamoja wamekutwa na mitambo ya kudurufu Cd,Vcd & Dvd, pamoja na kazi za Wasanii mbalimbali ,Zenye thamani ya shilingi million 25..Watuhumiwa hao walifikiswa katika kituo cha polisi urafiki kupisha uchunguzi zaidi



Picha kwa kwa hisani ya Michuzi







