
Kwa mujibu wa ukurasa wake katika mtandao wa Twitter Mwanamuziki na Mcheza Filamu Tyrese ameweka bayana kuwa Albamu yake mpya Open Invitation iko katika hatua za mwisho mwisho,aliongeza kwa kusema,amekuwa akitumia muda mwingi studio,ili Kazi hiyo iwe bora kwa ajili itakapotoka ipate mafanikio makubwa...Kote duniani...







