Wakati ndio kwanza ametimiza miaka 30 tangu kuzaliwa kwake,ameweka bayana kuhusiana na mapenzi kati yake na aliyekuwa mume wake ambaye waliachana mda mfupi mara baada ya ndoa yao.Dream ambaye ni mtayarishaji wa muziki nchini Marekani..
"Naamini nimepata somo kubwa kuhusu mapenzi katika miaka hii ambayo ni niumefikisha kuna wakati nilipenda nisipopendwa na kuna wakati ilitokea nimependwa mimi nikawa sipenzi,najua pande zote kulikuwa na maumivu ilambaya zaidi mimi nilipenda ila sikupendwa nikajikuta nimeingia kwenye ndoa ambayo ikaishia ilipofika kila mtu anajua ,miaka 30 nilitimiza tayari nimekomaa nitajitahidi kutorudia kosa maana sitaki kuumia tena"







