
Kampuni inayojishugulisha na kazi mbali mbali za wasanii nchini Marekani Live Nation ambayo inamikataba na wasanii kama Jay-Z,Madonna,U2 imeungana na kampuni ya Universal ambayo ina mikataba na wasanii kama Rihanna ,Kelly Rowland,Ne-Yo na wengine ambao kwa pamoja wataanzisha fursa za mapato ya pamoja na kuunganisha kazi zao pamoja na uuzaji wa show pamoja na uuzaji wa Tiketi za event mbalimbali ambazo watakuwa wakizifanya kwa pamoja..
Rapper Jay-Z Ni mmoja kati ya watu walioshiriki vyema kuibua kipaji cha Rihanna...







