Google PlusRSS FeedEmail

JESSICA SIMPSON ATARAJIWA KUPUNGUZA UKUBWA WA MATITI YAKE

                       
Mwanamuziki na Muigizaji na Mwanamama Jessica Simpson ameweka bayana kuwa anatarajia kufanyiwa upasuaji ili kupunguza ukubwa wa matiti yake

Jessica 31 aliwaambia marafiki zake kuwa anataka kufanya hivyo kutokana Matiti yake yamemfanya aonekane Mnene ,Kwa wa Tmz alisikika akisema "Sipendi kuwa na kifua kikubwa "Kwa mujibu wa Tmz Nyota huyo anataka kufanya upasuaji huo mapema kabla ya harusi yake na mwanasoka wa Marekani Eric Johnson amesema kama atakuwa hajafanya upasuaji huo,aliweka bayana atahairisha harusi yake kupisha upasuaji huo kwa maana harusi yake imepagwa kufanyika Ijumaa Novemba 11 mwaka huu

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging