JIANDAE KUSIKIA NGOMA MPYA YA FA NA LINAH Posted on by Unknown Mwana FA msanii mwenye bahati yakutoka kila siku ngoma kali na zinazopendwa na wananchi baada ya kufanya vizuri kwenye video na wimbo wa UNANIJUA UNANISIKI sasa yupo tayari kabisa kuja na wimbo mwingine utakaomshirikisha Linah KWA HISANI YA DJ CHOKA