Google PlusRSS FeedEmail

SHINDANO LA X-FACTOR LAZIDI KUMCHENGUA NICOLE SCHERZINGER

                      
Nicole Scherzinger amejikuta akihangaika huko na huko,mpaka kufika katika kitongoji kijulikanacho Westfield Stratford,Huko East London,Uingereza kwa ajili ya kufanya manunuzi ya nguo za kuendelea katika shindano la x -Factor
Nyota huyo alichaguliwa kuwa mmoja kati ya majaji wa X- Factor hivyo alijikuta akihangaika kutafuta nguo ambayo ina swaga la pekee
Hayo aliyabainisha baada ya kusifiwa gauni yake iliyokuwa imempendeza na kumfanya kutoka kipekee ndipo alitoboa siri ya kuhangaika kuipata..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging