Google PlusRSS FeedEmail

MARC ANTHONY AZUNGUMZIA KILICHOWATENGANISHA YEYE NA ALIYEKUWA MKEWE - JLO

       
Ni mda sasa tangu ndoa iliyodumu takribani miaka saba,Marc Anthony ameamua kuweka bayana kuhusu ukweli wa kilichowasibu wanandoa hao kutalikiana,kwa mujibu wa Channel E Marc alisikika akisema,wametalikiana kutoka na mwenzake hakuwa mwaminifu katika ndoa yao,katika maisha ya ndoa yao wamefanikiwa kupata watoto wawili mapacha nao ni Max na Emme.Marc alisikika akisema kwa sasa ataendelea kuwatunza watoto wake wote na kusimamia kazi zake kwa ufanisi zaidi..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging