Google PlusRSS FeedEmail

JUA KALI - TUGANGE YA JAYO ALBAMU INAAMBATANA NA KUFUNGA NDOA


Mkali na mwanzilishi wa Genge Style Kutoka Calif Records amesema anatarajiwa kufunga ndoa mwakani,akifanya mahijiano na pro-24,amaesema kwa sasa anajipanga na kumalizia albamu yake ambayo ameipatia jina Tugange ya jayo,Albamu ambayo itakuwa na jumla ngoma 13,alitaja baadhi ya ngoma ambazo ziko kwenye albamu yake ni kama Baba yao.,kuna shangwe,Tunashukuru ambayo amemshirikisha muimbaji wa nyimbo za injili anayejulikana kama Julian,Track zote amefanya Calif Recors,chini ya producer wake Clemoo,ila kuna ngoma moja kafanya na Shakii wa Mandugu Digital..Wasanii wengine ambao amewataja na ambao amewashirikisha katika albamu yake ni Mejja,Q- Tasii,Na K- Soldier Wote kutoka Calif Records

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging