Google PlusRSS FeedEmail

TUNAADHIMISHA SIKU YA MWALIMU NYERERE LEO




                                                        Kaburi la Mwalimu Butiama

                                                Mwalimu na Mama Maria enzi hizoMwalimu na Mama Maria walipomtembelea mama mzazi wa Julius Kambarage Nyerere
                Mwalimu akiingia kanisa la St. Peters. Alikuwa mcha Mungu sana
Mwalimu na Marais Kenneth Kaunda wa Zambia,Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya na Dr Milton Obote wa Uganda
Mwalimu akimkumbatia JK baada ya kukubali matokeo ya kura za kuwa mgombea urais wa CCM Mwaka 1995 huko Dodoma
Mwalimu akiongea na Mwandishi Freddy Macha walipokutana Rio de Janeiro, Brazil
Mwalimu na Mama Maria wakiwa India nyumba ni kwa Mama Indira Gandhi na mwanae Rajiv
                                       Mwalimu akimkaribisha Madiba Ikulu, DarMwalimu akitembea kuunga mkono Azimio la Arusha kwa kutembea toka Butiama     Mwalimu, Mama Maria na Mzee John Malecela wakiwa na Iddi Amin, UgandaMwalimu akiwa na viongozi wengine wa nchi zisizofungamana na upande wowote              Mwalimu akitaniana na Tom Mboya na viongozi wengine Kenya
 
Mwalimu akisalimiana na Iddi Amin Dadah wakati wa mkutano wa OAU Addis Ababa, Ethiopia
 Mwalimu na Mzee Malecela katika mkutano wa OAU ambapo Iddi Amini alikuwa akihutubia Mwalimu akicheza bao na wazee wa Butiama huku Rais Ali Hassan Mwinyi na Mama Maria wakishuhudia                                                                  Mwalimu na Familia

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging