Google PlusRSS FeedEmail

MBANTU NA NGOMA YAKE USIKARIRI

Mbantu,Artist anaetokea pande za hedaru same anakuja na ngoma yake mpya inayoitwa "usikariri" aliyorekodiwa Noizmekah,msanii huyo, anawakilisha sanaa ya kughani,yaani hiphop toka kijiji cha kirangare mpaka duniani kote,anasema"sio kila mzee ana busara zaidi ya vijana, wao viana wenye busara zaidi ya wazee kwahivyo mimi mbantu kutimba noizmekah studios na kuwaasa watu wasikariri maisha ni busara kuliko mzee anayeingia mtaani na kusambaza uongo na busara batili,mashabiki zangu kote nawapenda,naitaji sapoti yenu sana,asante...

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging