Google PlusRSS FeedEmail

MH SUGU TFU INAVUNJA SHERIA BASATA ACHENI KUKAA KIMYA

    
Sugu alisema, inashangaza Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kukaa kimya na kushindwa kulaani hata kidogo uwepo wa TFU wakati kampuni hiyo inavunja sheria.Mbunge huyo, alizungumza hayo, wakati Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii ilipotembelea Baraza la Sanaa jana.Sugu alisema, chama halali cha wasanii wa muziki wa kizazi kipya ni Tuma (Tanzania Urban Music Association), hivyo TFU wanavunja sheria huku Basata ikitambua.
Alihoji, kama Basata inaiogopa TFU kwa sababu watu wake hufanya kazi mpaka Ikulu.“Inashangaza kampuni ambayo inafanya kazi kwa kuvunja sheria, inapata mianya mpaka ya kufika Ikulu na kufanya kazi na mkuu wa nchi bila Basata kukemea,” alisema Sugu.


KWA HISANI YA MH JOSEPH MBILINYI

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging