Google PlusRSS FeedEmail

TIGER EYES TOKA A-TOWN KICHWA KIPYA KWENYE GAME

Mwanadada Tiger Eyes toka Arachuga anawaasa madem wote wanaofanya game wakaze buti mana yuko tight zaidi .Niko serious sana na mziki chalaangu" asema Nemy a.k.a Tiger Eyes mwanadafada anaye rap na kuimba na kudance katika crew la "NewKings" toka Arusha..."Noizmekah kwa dx ndio niliporekodia ngoma yangu hii ya "Grind on"Producer Mosco ambae ameunda beat na vocal kasimamia Dx mpaka ngoma kukamilika na kuwafikia wadau ma mashabiki zangu wote Tanzania na Dunia nzima,Sasa nakaribia kumaliza masomo.Heshima ziende kwa Mungu kuniweka hai na Mama kwa kunisuport katika muziki,Producer wangu

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging