Google PlusRSS FeedEmail

DULLY SYKES APUNGUZA GARAMA ZA KUFANYA SHOW

Siku kadhaa baada ya single ya Biberon kufanya vyema kwenye vituo vya radio na televisheni, Dully sykes ameweka wazi kwamba pamoja na kufanya vizuri kwa track hiyo bado hajapata show zozote kutokana na pini lenyewe.Dully ametangaza rasmi kushusha bei ya show zake kuanzia leo kwa muda wa miezi miwili ijayo.Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni miezi hii kuwa mibaya kifedha, hivyo kutoka milioni tano aliyokua anataka kwa show moja, sasa anakubali mpaka milioni 3.5 kwa show moja.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging