Google PlusRSS FeedEmail

JAY Z "SITATUMIA MANENO YA FFF KATIKA MASHAIRI YANGU

Baada ya kupata mtoto wa kike Rapper Jay Z,ameweka bayana kwamba kuanzia sasa hata tumia maneno machafu yenye 'FFF' Maneno yenye ukali [MATUSI} katika nyimbo zake mpya,amesema anataka kumkuza binti yake katika maadili "najua atakuwa akipenda kuimbakama sisi wazazi wake sasa akikalili mashairi ya baba yake then akataja hizo FFF inakuwa haipendezi katika Jamii nzima,"Huwezi kuwa baba bora wakati unatukana hovyo nahahidi sitatumia maneno mabaya katika kazi zangu zote zijazo"

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging