Google PlusRSS FeedEmail

H-BABA AZUNGUMZIA SABABU YA KUVUNJIKA KWA PENZI LAKE NA FLORA MVUNGI

Msanii wa amuzki wa kizazi kipya H-Baba ameiambia Pro-24 kuwa yale matarajio yake ya kufunga ndoa na aliyekuwa mpenzi wake Flora Mvungi,ambaye nae ni muigizaji wa filamu nchini,amesimamisha wazo lake hilo.ameongeza kwa kusema Mrembo huyo ndio chanzo cha yote kwa maana mara baada ya wazo hili kuja Flora alianza kuwa na sababu nyingi na zisizo na msingi,Kwa upande wa Flora mwenyewe alisema hataki kuolewa na H- Baba,na yeye na H-Baba ni kama kaka na dada kuanzia sasa.H-baba aliongeza kwa kusema wasanii wa fiamu nchini hasa wa kike wanajiona wao ndio wanawake wazuri kuliko wanawake wengine,na hilo ni kutokana na wasanii hao kutongozwa na wanaume kila kukicha..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging