Google PlusRSS FeedEmail

MB AACHIA PINI JIPYA LIJULIKANALO KAMA "LIGE GAME"

Msanii MB anayetokea pande za Terat,anakuja na pini jipya la "Life Game" alorekodia noizmekah. chini ya producer DefXtro,Muziki anaofanya mchizi ni hiphop,"Nipo karibu nanyi fans wangu mtegemee nyimbo zingine kali toka kwangu,Shout out kwa ORS pande za Terat mana ndipo niliporekod ngoma yangu ya kwanza na ikanitambulisha katika game la muziki,shukran kwa ma dj wote tanzania kwa support,kazi ambayo nitaiachia baada ya hii itakuja kwa jina la "Live bila Chenga...

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging