Google PlusRSS FeedEmail

DJ CLEO AFANYIWA UPASUAJI

Mwanamuziki kutoka Afrika ya kusini ambaye anatamba na  single yake ambayo ameipatia jina la  Facebook,Dj Cleo wiki iliyopita alianguka nyumbani kwake katika eneo la Honeydew kwa kuugua maradhi ya Appendix.Dj Cleo ambaye alikimbizwa hospitali na mkewake, alifanyiwa upasuaji Jumanne usiku.‘Nilifikiria kwamba ninakufa kwa jinsi nilivyosikia uchungu mkali tumboni kabla ya kuletwa hospitali Jumatatu. Namshukuru Mungu naendelea vizuri,

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging