Google PlusRSS FeedEmail

MC Harvey claims he had a secret relationship with Cheryl Cole after Ashley split

Vita ya maneno imeibuka kati ya Cheryl Cole na Rapa Mc Harvey anayetamba kwamba alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mrembo huyo..Rapa huyo amedai aliwahi kuwa mpenzi wa Cheryl baaada ya mwimbaji huyo kuachana na mumewe Ashley Cole Anayechezea timu ya Chelsea..Cheryl amekana madai hayo na kuandika kupitia katika ukarasa wake wa Twitter.".Huu ulikuwa uhusiano wa kwenye kichwa chako,unavita bangi nini?"Nafikiri nilikutana na wewe mara moja au mbili kwenye matukio ya kijamii ukiwa na mkeo kwanini uzushe hayo..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging