Google PlusRSS FeedEmail

ROBIN & PAULA WADAIWA DOLLAR ZA KIMAREKANI 500,000$

Wanandoa hao Robin Thickle & Paula Patton wamejikuta wapo kwenye deni kubwa la dollar zakimarekani karibia $500,000 na kampuni ya IRS.Mpaka sasa wameshakamilisha nusu ya deni hilo na bado wanaendelea kushughulikia juu ya deni hilo.Kutoka na mtandao wa kimarekani wa TMZ,inaonekana kwamba wanandoa hao hawakufaili kodi ya mapato yao ya mwaka 2009 na 2010 ndo ikapelekea kuwa na deni hilo.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging