Google PlusRSS FeedEmail

OMOTOLA JALADE EKEINDE ALAMBA KARATA DUME UK

Muigizaji Omotola Jalade Ekeinde yuko nchini Uingereza tangu katikati ya mwezi March mwaka huu,Lengo la mcheza filamu huyo wa Nollywood kuwa nchini humo ni kuajili ya kusaini mkataba wa kucheza filamu unaokadiliwa na kitita kikubwa cha fedha..Kwa mujibu wa chanzo kimoja cha habari kimesema mkataba huo ulikuwa na usiri mkubwa ila kutokana mkataba kuwa wa fedha nyingi imekuwa si siri tena..Baada ya kusaini mkataba huo msanii huyo atakuwa akilazimika kwenda Nchini Uingereza kwa wiki kazaa...Mpaka sasa kuna baadhi ya watu wanasema mwanamama huyo kapata dilll ya matangazo ya Tv...

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging