Google PlusRSS FeedEmail

MATUKIO YA PICHA KATIKA SAFARI YA MWISHO YA KANUMBA



Hii ni barabara ya Kinondoni kuingia kwenye makaburi ya Kinondoni ilikuwa ni balaaaa yani dah, kule mbele ndio mwili wa marehemu Steven Kanumba ndio unakuja
                Hapa ni baada ya mwili kupelekwa makaburini kinondoni.

Hii ni wakati naingia makaburini, watu walikua wengi sana na inaaminika kwamba ni zaidi ya watu elfu arobaini waliohudhuria leo.

Wengine walikosa nafasi karibu na kaburi la Kanumba.

Maelfu ya watanzania waliotaka kuuona mwili wa Marehemu Kanumba, wote walikosa nafasi ya kuutazama ulipokua Leaders kwa sababu iliamuliwa familia ya Kanumba tu na viongozi wachache wa Serikali ndio wamuage.
              

Makaburini Kinondoni.

Wakati msiba ukiendelea, hili kundi la vijana lilikua linapita karibu na eneo la mazishi na kuimba "tulidhani shemeji, kumbe muuaji" likimshutumu mwigizaji Lulu ambae anahojiwa na polisi sasa hivi kwa kudaiwa kumsukuma Kanumba mpaka kuanguka.


Barabara ya Kinondoni kulikua na foleni mbili, ya watu na ya magari.





 


Kwa wingi wa watu ilibidi watu wapande juu ya miti lakini baadae waliamuriwa washuke chini na kamanda Kova




Ray akiwa aamini kama swaiba wake ndio anakwenda kwenye nyumba yake ya milele





Charlz Baba akiwa na wenzake kutoka Mashujaa Band, Charz ameniambia walikuwa wanatokea Morogoro so waliweza kuwahi makaburini

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging