Google PlusRSS FeedEmail

DIANA NI KIPIMO CHA NDOA BORA- RICHIE

Muongozaji wa filamu katika tasnia ya filamu Single Mtambalike ‘Richie’ amesema filamu ya Diana ni fundisho kwa wanaume wote wanopenda kuvamia wanawake wa nje huku wakiwa na familia zao, jambo ambalo uleta mitihani katika Ndoa na kuharibu uhusiano katika familia.“Filamu ya Diana ni kipimo cha Ndoa filamu inaonyesha jinsi matatizo ambayo yanaweza kukumba kwa kuwa na Nyumba ndogo na kusalitiwa na kukuteketeza kwa njia ya ushirikina, ukiangalia filamu hii utaona mimi nilivyopoteza kazi na mke wangu kurongwa na Kimada na kupoteza mwelekeo Diana ni kipimo cha Ndoa bora,anasema Richie.
Filamu hiyo imeongozwa na Richie huku akiigiza kama mume wa Ketty ambaye ndio aliyerogwa na Davina na kupooza viungo ni filamu nzuri ina vitu vya kujifunza katika jamii yetu, katika filamu hiyo wasanii walioshiriki ni Subira Rupia, Halima Yahaya, Kupa, Chiki Mchoma, Single Mtambalike na wasanii wengine wakali, unga mkono kwa kununua filamu za wasanii Bongo..




KWA HISANI YA FC

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging