Muigizaji wa filamu na vichekesho nchini,Mzee Small amejikuta akifikishwa katika Hospital Kuu ya Wilaya ya Ilala Jijini Dar es salaam leo asubuhi mara baada ya kupata Ugonjwa wa kupooza,Kwa Mujibu wa Chanzo kinasema mzee huyo alipata madhara asubuhi akiwa nyumbani kwake ,na kukimbizwa katika hospitali hiyo ya Ilala,Pro-24 inaendelea kufuatilia hali ya muigizaji huyu maarufu hapa nchini..
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








