Google PlusRSS FeedEmail

BIEBER MAHUSIANO YAKE YAWEKWA WAZI

Mwimbaji Justin Bieber ameumbuka vibaya baada ya meseji zake za mapenzi alizokuwa akimtumia mpenzi wake Serena Gomez, mwanzoni wawili hao hawakutaka kuweka uhusiano wao wa kimapenzi hadharani lakini hivi sasa kila kitu kipo wazi.Gareth Crosskey , Mwingereza ambaye anasifika kwa kuingia kwenye mitandao ya watu ya facebook ameziweka hadharani mesejiza mapenzi za wasanii hao.Crosskey, (21), amekamatwa na makachero wa FBI kwa ajili ya uchunguzi zaidi na jeshi la polisi....

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging