Google PlusRSS FeedEmail

TAMASHA LA WASHINDI WA TUZO ZA KILL MUSIC LAFANA MTWARA

Queen Darling  nae alishambulia jukwaa vilivyo na kuleta raha kwa mashabiki wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  
Msanii anae kuja juu Omy Dimpoz nae akikamua jukwaani wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara .
Barnaba Boy ambaye ni mshindi wa Tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kiume akimbo jukwaani hii leo wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  
Msanii AT kutoka Zanzibar akitumbuiza jukwaani na wacheza sho wake wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara
Msanii aliyefunika vibaya katika tamasha la Kili Music Award mjiji Mtwara, Roma Mkatoliki akitumbuiza jukwaani wakati wa show maalum ya Washindi wa Kili Music Award kwenye uwanja Umoja  wa mjini Mtwara  .

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging