Jumapili hii ndani ya ukumbi wa DarLive ni usiku wa kijana mdogo kabisa kutoka katika kundi la Mkubwa na wanawe, Dogo Aslay ambaye anatarajia kuzindua albam yake ya kwanza inayoitwa Nakusemea.
Said Fella a.k.a Mkubwa fella amesema kwamba timu nzima ya Wanaume Family na ile ya mkubwa na wanawe itakuwepo kutoa burudani kwa mashabiki wa muzikii wa kizazi kipya watakaofanikiwa kufika ukumbini hapo kutoka kila kona ya dunia.Nakusemea, ina jumla ya nyimbo kumi na itakuwa ikipatikana madukani kote
Said Fella a.k.a Mkubwa fella amesema kwamba timu nzima ya Wanaume Family na ile ya mkubwa na wanawe itakuwepo kutoa burudani kwa mashabiki wa muzikii wa kizazi kipya watakaofanikiwa kufika ukumbini hapo kutoka kila kona ya dunia.Nakusemea, ina jumla ya nyimbo kumi na itakuwa ikipatikana madukani kote








