Google PlusRSS FeedEmail

OPRAH KUFANYA MAHOJIANO NA RIHANNA


Gwiji wa vipindi vya mahojiano vya terevisheni Oprah Winfrey ameanza kuingia katika tamaduni za pop linapokuja swala la watu kuwahoji .Kwa kawaida mwana dada huyo huwahoji waigizaji wakongwe, nyota wa muziki na wanamichezo kwa nia ya kuwapa watu ushawishi wa mafanikio ya maisha ,lakini mwana mama huyo amekiri kwamba kuwahoji waimbaji vijana wanotamba sana katika muziki wa pop kunalenga kuongeza idadi ya watazamaji wa shoo yake

Alisema “kwa miaka 25 nilijalibu kutofikiria idadi ya watazamaji ,nilifanya nilichofanya kwa sababu nilikuwa na mkataba ambao ulinipa uhuru wa kutohofia idadi ya watazamaji lakini hii ni biashara”

Kwa kuwahoji akinadada wa Kardashian na rap 50 Cent kumempa mafanikio Oprah kwa idadi iliyoongezeka ya watazamaji wa kipindi chake
 
Hivi sasa Oprah amemuanda nyota mwingine mkubwa Rihanna anayefuata kumhoji katika kipindi chake cha Oprahs ‘Next Chapter’ mahojiano hayo yamepangwa kurushwa Agosti kwenye chaneli ya OWN Network

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging