Google PlusRSS FeedEmail

USIKU WA SUPERSTAR WA WEMA SEPETU


Miss Tanzania aliyewahi kuwa gumzo nchini, Wema Sepetu alizindua filamu yake inayokwenda kwa jina la Superstar, yafuatayo ni baadhi ya matukio yaliyojiri hapa ni Wema mwenyewe akiingia ukumbini
watu wakishuhudia mzigo...
BongoMovie SuperStars...
Omotola & Wema Sepetu wakiingia ndani ya Hotel ya Giraffe


Hapa Wema alikuwa akimwambia kwa kithungu kile ambacho MC alichokuwa akikizungumza
Ben Kinyaiya, Omotola & Wema Sepetu, hapa alikuwa Omotola akizungumza na watanzania waliofika katika Hotel ya Giraffe
Wageni waalikwa...
THT walitumbuiza!
Unawajua hawa? Kuslia kabisa ni Asmah Makau anayefuata ni Dina, halaf nanii na nanii

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging