Google PlusRSS FeedEmail

RAMBO HATAKI KUULIZWA JUU YA KIFO CHA MTOTO WAKE

Mkongwe wa Filamu za mapigo Sylvester Stallone ‘Rambo’ amesema kwa sasa hatojisikia furaha kama ataendelea kuulizwa maswali juu ya kifo cha mtoto wake. Sage Stallone amefariki hivi karibuni kutokana na kubwia sana dawa ya kulevya. Hilo limeonekana ni pigo kubwa kwa Rambo ambaye alikuwa amejitenga na kumwangalia Sage ambaye ndiye wa kwanza kuzaliwa “hakuna mzazi ambaye atafurahia kuona mtoto wake amefariki kwa sasa sitopenda kuona naulizwa maswali mengi” Rambo alidai kuwa kwa sasa yupo katika kipindi kigumu huku akijiuliza maswali mengi ambayo hapati majibu yake

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging