Google PlusRSS FeedEmail

SOULJA BOY ADAI KUWA MAISHA BILA BANGI HAYAWEZI KWENDA

Rapa machachari nchini Marekani Soulja Boy, amedai kuwa maisha bila kuvuta bangi hayawezi kwenda. Msanii huyo hivi karibuni alitoa picha katika mtandao wa Twitter ambao inamuonyesha akiwa katika chumba kilichojaa bangi Picha hiyo inaonekana kuwekwa na msanii huyo katika ukurasa wake wa Twitter jambo hilo lilizua maswali mengi “kila mtu huwa anastarehe zake naamini ni bora kuvuta bangi kuliko kuvuta dawa za kulevya kama white suger” Hivi karibuni mkongwe wa Hip pop Snoop Dog naye alitoa kitabu kinachoelezea bangi

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging