Google PlusRSS FeedEmail

RAPPER DMX AMELAZWA MARA BAADA YA KUPATA AJALI YA GARI

Rapper Dmx amelazwa katika Hospital moja huko South Carolina,mara baada ya kupata ajali,kwa mujibu wa matandao wa Tmz imeweka bayana kuwa Rapper huyo alifikishwa hospital mara baada ya Ubongo wake kupata mtikisiko....Ajali hiyo imetokana na gari yake kupata itilafu kwenye matairi ya gari aliokuwa akiindesha hali yake inaendelea vyema ila kwa mujibu wa Tmz haijulikani Rapper huyo ataruhusiwa kutoka Hospital..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging