Google PlusRSS FeedEmail

CHAMELEONE AFANYA KWELI KWENYE TAMASHA LA JAHAZI

Msanii kutoka Uganda Jose Chameleone alikonga nyoyo za mashabiki wake kwenye tamasha la 15 la kimataifa la filamu kwa nchi za jahazi Ziff linaloendelea visiwani Zanzibar..Chameleone alionyesha ubora wake alipopanda jukwaani na kuimba zake maarufu...Ingawa Chameleone hakutumia vyombo vya bendi,bado mashabiki wake walimkubali kutokana na uwezo wake kushambulia jukwaa..nyimbo ambazo zilizoshangiliwa na mashabki ni Mama Roda, Jamila,Mama Mia,na Kipepeo,kupitia wimbo wa jamila mashabiki walikuwa wakisikika wakisema" RUDIA"RUDIA"Wasanii wengine waliotamba kwenye onyesho hilo ni pamoja na Diamond na msanii chipukizi kutoka Zanzibar Sultan King...

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging