Google PlusRSS FeedEmail

RIHANNA NDANI YA OPRAH'S NEXT CHAPTER AUGUST 19

Rihanna anatarajiwa kufata nyayo za Raper 50 Cents,ambapo anatarajiwa kuwa mmoja kati watu kumi maharu Duniani kuhojiwa na Mwanamama Oprah Winfrey...ambapo mwanamama huyo anatarajiwa kuja upya kupitia kipindi chake ambacho kwa sasa kitajulikana kama OPRAH'S NEXT CHAPTER...Katika mahojiano hayo Rihhana anatarajiwa kuzungumzia mafanikio ya kazi zake kwa ujumla..Mahojiano hayo yanatariwa kurushwa kupitia vituo mbalimbali kote Ulimwenguni mnamo August 19 mwaka huu...

                  

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging