Google PlusRSS FeedEmail

SIR ELTON JOHN ATAKA KUASILI MTOTO MWINGINE

Mwanamuziki Sir Elton John ambaye ameolewa na mwanaume mwezie anayejulikana kama David Furnish,kwa hivi sasa yuko katika harakati za kuasli mtoto mwingine ..Sir Elton John ameliambia gazeti la The Guardian nia yake huyo ya kutaka kuasili mtoto mwingine na alisikika akisema 'sipendi kuona mtoto wangu akikuwa na upweke nataka kuasili mtoto mwingine " Elton John na mumewe wametangaza kwamba wanajisikia fahari kuwa na mtoto wa kiume mwenye afya,,mtoto huyo ambaye anajulikana kama Zachary Jackson Levon Furnish ..mtoto huyo wakati anazaliwa alikuwa na  uzito wa wa paundi 71,..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging