Google PlusRSS FeedEmail

MUIMBAJI MMOJA WA KUNDILA LA THE VOICE APATA AJALI

Siku ya jana majira ya Saa Tatu usiku Muimbaji wa Kundi la The Voice Obedi John Mark amepata ajali Sinza kamanyola akiwa anaelekea Magomeni.Alikuwa ndani ya usafiri wa Bajaji,mbele yao kulikuwa na gari iliyokuwa ikiwafata kwa nyuma hivyo liliwachomeke na kusababisha wao kuingia kwenye Mtaro ulio pembezoni mwa Barabara.Hali yake sio nzuri amepata michubuko kwenye Mikono Miguu na sehemu za uti wa mgongo.Kwa sasa yupo hospital Muhimbili

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging