Google PlusRSS FeedEmail

CHAGUENI WASANII WENYE NIA YA




Msanii mkongwe kwenye tasnia ya filamu nchini Nuru Nassoro ‘Nora’ amefunguka kwa kusema kuwa anawaomba wadau wa filamu nchini kuwatumia wasanii wenye vipaji na nia ya uigizaji

Nyota huyo alisema kuwa wadau wa tasnia hiyo wamekuwa wakiwasahau wasanii chipukizi ambao wapo katika vikundi na kuwachukua wageni ambao baadae wanakosa muelekeo

“Nashangaa mastaa tuliopo kwenye ‘gemu’ la tasnia hii vipaji vyetu vilianza chini mpaka kufikia hapa tulipo, kumetokea suala la wasanii wanaoandaaa filamu zao kushirikisha mtu kutoka nyumbani na kumpatia nafasi ya ushiriki kwa ghafla na kuacha kupita kuangalia vipaji vya chipukizi waliojiandaa kwenye vikundi hali hii inaweza kuharibu tasnia “ alisema

Aliongezea kuwa yeye mpaka kufikia kung’ara alitokea kwenye maonesho ya fashion shoo na Taji Liundi ndio alimshauri kuingia rasmi kwenye fani ya uigizaji

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging