Mwanamuziki George Michael ameanza rasmi kutoa burudani kwa mashabiki wake..Alisitisha kufanya maonyesho yake mara baada ya kupata homa kali {nimonia} akiwa jukwaani..Mwanamuziki huyo alipata homa hiyo akiwa katika moja ya ziara zake huko Vienna Desemba mwaka jana..Amere jukwaani na tayari ameshafanya onyesho lake la kwanza katika viwanja vya Lg Arena Mjini Birmingham ambapo aliwaambia mashabiki wake amerejea rasmi jukwaanii na yuko fiti kuwapa burudani safi..Mwanamuziki huyo ambae pia ni shoga,jina lake halisi ni Georgios Kyriacos Panayiotou..
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.