Mwanamuziki Ronan Keating kwa sasa ameanza kupata raha mara baada ya kupata mpenzi mpya.mpenzi wake mpya huyo anajulikana kama Storm Uechtritz,Keating na Storm walianza mahusiano mara baada ya kutengana na mpenzi wake wa awali..Ronan Keating amba alishawahi kuwa mmoja wa wanamuziki wa kundi la Boyzone amepata mpenzi mwingine wakati akiwa katika X-Factor huko Australia ambako alikuwa ni muandaaji..Ronan mwenye miaka 35 sasa ndoa yake ya miaka 14 na Yvonne iliisha rasmi Aprili mwaka huu kutokana na kashfa iliyomkuta kwa kufanya mapenzi na dansa wake...
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.