Google PlusRSS FeedEmail

MASANJA ARUHUSU KUNAKILIWA KAZI YAKE


Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini Emmanuel Mgaya 'Masanja Mkandamizaji' amesema kuwa albamu yake iitwayo 'Hakuna Jipya' ametoa kibali watu kunakili bure,ili ujumbe ufike kwa urahisi zaidi kwa watu

Akizungumza Dar es Salaam alisema hali hiyo ya kuwaruhusu wadau kunaliki bure itasaidia kufikisha ujumbe wa kiroho kwa watu wote

"Watu wanatakiwa kuokoka wakiwa na nguvu na si wasubili wakati kifo au kuugua, kwa mtu yoyote awe msanii ama mfanyabiashara inampasa kuokoka akiwa na nguvu zake"alisema

Aliongezea kuwa amekuwa akipokea ujumbe kutoka sehemu mbalimbali kuhusu kazi yake na ameomba watu wengine wajitoe katika kazi ya kumtukuza mungu

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging