Google PlusRSS FeedEmail

ANATAMANI KUWA KAMA OPRAH



Licha ya ndoto aliyokuwa nayo ya kutaka kuwafunika mastaa wote wa kike katika tasnia ya filamu India Nargis Fakhri anaeleza kutokuwa na bahati

Badala yake binti huyo ameanza kuelekeza ndoto zake katika kuanda vipindi vyake vitakavyorushwa na vituo mbalimbali vya terevisheni, akisema "Huwezi kujua naweza kuwa Oprah Winfrey wa India"

Anasema mpaka sasa hajapata mikataba ya kutosha kucheza filamu na bahati mbaya kwake ni kwamba hata mikataba ya kucheza filamu tatu za awali kwake, imesitishwa katika mazingira ya kutatanisha

Moja ya filamu hizo, Khiladi 786 iliwekwa kando na nafasi yake ilichukuliwa na kimwana mwingine Asin


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging