Google PlusRSS FeedEmail

RIHANNA ATAMBA NA DIAMONDS



Miaka saba baada ya kutamba na ngoma yake ya kwanza ya 'Pon de Replay' Rihanna ameendelea kuwa mkali asiyezuilika katika muziki

Huku akiwa ameachia nyimbo 11 zilizoshika namba moja , muimbaji huyo mwenye umri wa miaka 24 ameng'aa tena akiwa na wimbo wake mpya wa "Diamonds" ambao ni 'Single'ya kwanza kwa ajili ya albamu ya saba katika miaka saba

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging