Google PlusRSS FeedEmail

SOULJA BOY APATA AJALI




Mwanamuziki wa miondoko ya rap wa nchini Marekani The two Soulja Boy amepata ajali na gari yake ya kifahari la aina ya Bentley, lakini hakudhurika , kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo walisema kuwa mtu mmoja aliyekuwa akiendesha gari nyingine ndiye alisababisha ajali hiyo kutokea

Lakini wakati ajali hiyo inatokea mwanamuziki huyo hakuwa anaendesha gari hilo , alikuwa amekaa kwenye siti ya abiria huku rafiki yake Bobbiye Chevy ndio alikuwa akiendesha

Na tayari mwanamuziki huyo ameshaizungumiza ajali hiyo na kujali kuwa ilikuwa ni ya bahati mbaya na anashukuru hakuna mtu aliyeumia

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging