Google PlusRSS FeedEmail

CPWAA KUVALISHA NA SHERIA NGOWI




Msanii anayetamba kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva Tanzania Cpwaa ameingia katika mkataba wa kuvalishwa na mwanamitindo , Sheria Ngowi, katika video zake zote

Msanii huyo ambaye ni tishio katika tasnia hiyo alisema ameingia mkataba wa kutangaza mavazi ya mwanamitindo huyo

Cpwa alisema mbali na kumtangazia mavazi yake, pia atakuwa akivaa nguo hizo pindi anapotengeneza video zake mpya kuanzia sasa

Aliongezea kuwa alianza kuvaa nguo za mwanamitindo huyo mwaka jana ambapo hivi karibuni aliamua kuingia naye mkataba wa moja kwa moja

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging