Google PlusRSS FeedEmail

WIZ KHALIFA :ANATAMANI KUITWA BABA



Rapa wa Marekani Wiz Khalifa amesema atafurahia kama siku moja atazaa na mpenzi wake mwanamitindo Amber Rose

Kauli hiyo imechukuliwa kama kuunga mkono kauli ya Amber ambaye alidaiwa anataka kumzalia mtoto wake wa kwanza rapa huyo

Wiz na Amber kwa nyakati tofauti kila mmoja ameshazungumzia hali hiyo jambo linaloleta maneno ya chini chini kuwa mrembo huyo tayari anaujauzito

Lakini wawili hao kila mmoja hakuna aliyeweza kuthibitisha juu ya jambo hilo kwa kuwa hawataki kulizungumzia kiundani hata wakiulizwa

Wiz alisema "Nataka siku moja kuitwa baba, naamini Amber ipo siku atatimiza hilo na tutakuwa na familia yetu yenye amani na furaha kama ilivyo sasa"

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging