MIKANDA YA NGONO YA KANYE WEST YAONEKANA HADHARANI
Rapa Kanye West ameingia katika mzozo mpya baada ya kupatikana kwa mikanda miwili aliyoigiza picha ya ngono miaka ya nyuma inayouzwa katika maduka mbalimbali na kusambazwa katika vyombo vya habari
Ripoti inasema kuwa mikanda hiyo aliigiza akiwa na binti mdogo katika chumba cha hoteli ambao ni wa pili kupatikana katika kipindi kifupi
Mikanda yote ina muda mrefu ule wa kwanza umetumiaa dakika 20 huku mwingine ukiwa ni zaidi ya dakika 40 ambayo inaonesha kwa undani matukio waliyoyafanya huku muda mwingine wakionekana kupumzika
Mtu wa karibu wa Kanye alisema kuwa rapa huyo hajui ni jinsi gani mikanda hiyo imerekodiwa kutoka katika komputa yake binafsi ambapo kama atamjua mtu huyo aliyezitoa atamfikisha katika vyombo vya usalama
Kanye alishawahi kumlalamikia mpenzi wake Kim Kardashian baada ya kuona mkanda wa ngono wa mrembo vuyo na sasa imekuwa ni zamu yake jambo linalowafanya kusubiri kuona Kim atafanyaje