BOBBI KRISTINA AVALISHWA PETE NA 'KAKA YAKE'
Bobbi Kristina Brown ambaye ni mtoto wa Boby Brown na marehemu Witney Houston amevalishwa pete na mpenzi wake Nick Gordon
Gordon ni kaka wa Bobbi ambaye aliasiliwa na mama yake, huku akilelewa katika familia hiyo kabla kudondokea katika penzi la dada yake
Teyari binti huyo ameshaonekana mara kadhaa akiwa amevaa pete hiyo ambayo inasemekana ni ya thamani kubwa, wawili hao wnatarajia kuonesha uchumba wao katika kipindi cja The Houstons ambacho kitahusisha maisha baada ya kifo cha mama yao jinsi yanavyoendelea








