Google PlusRSS FeedEmail

BUSHOKE :ANAPENDA KUIMBA NA WASANII WALIOKWISHA TOKA


Mwanamuziki wa Bongo fleva Ruta Bushoke amesema anapenda kuimba na wasanii waliokwisha toka kwa sababu lengo lake kuu ni kutoka zaidi katika tasnia ya muziki

Akihojiwa na shirika la Utangazaji la Uingereza, BBC akiwa Afrika ya Kusini alisema kuwa wasanii waliokwisha toka wanamsaidia kwa kiasi kikubwa kufanikisha kwa urahisi kazi zake za sanaa

Alisema kuwa alishirikiana na wasanii mbalimbali wa kimataifa akiwamo Juliana Kanyomozi wa Uganda pamoja walitoa baadhi ya nyimbo zilizopendwa

Msanii huyo ambaye aliwahi kufanya kazi za sanaa nchini Uganda kwa miezi miwili alisema kuwa ameamua kuweka maskani yake Afrika ya Kusini kwa kuwa nchi hiyo ipo juu katika tasnia ya muziki

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging